HALI NGUMU YA MAISHA!!
Hawa ni wakazi wa iringa wakiwa wametoka vijiji vya jirani mkoani Iringa kuchukua pombe aina ya Ulanzi ambayo inapendwa na wakazi wengi wa Iringa na maeneo mengi ya jirani mkoani Huko.
Wakazi hawa hujishughulisha na Biashara hii Mashuhuri Mkoani huko kwa lengo la kuinua kipato kutokana na halingumu ya Maisha.
Chanzo,Michuzi:


Post a Comment